Maduka yafungwa Dodoma wenyewe wagomea mashine za kieletroniki EFDs za TRA


  
  
 
 Maduka yakiwa yamefungwa katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Dodoma baada ya wafanyabiashara kugoma kuazia jana karibu nchi nzima kwa muda usiyojulikana huku mapendekezo yao kuwa gharama za uendeshaji mashine hizo zifanywe na serekali.
 
 Baadhi ya wafanyabiashara wa maduka wakipiga soga nje ya maduka yao baada ya kuyafunga kwa muda usiyojulikana wakipinga mashine ya kielektroniki EFDs iliyotolewa na TRA na kutakiwa kila mfanyabiashara kuwa nayo.
[PICHA NA JOHN BANDA]

No comments:

Post a Comment