Picha za matukio hayo

Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii na Watoto Ummy Mwalimu akiselebuka Wakati wa kampeni Dhidi ya ugonjwa wa Fistula zilizofanyika jana katika viwanja vya Nyerere [Nyerere Squere] Dodoma  kulia ni Mjumbe Wa kamati ya Bunge ya Maendelea ya jamii Mhe.Ritta Kabati na Kushoto ni Balozi wa Vodacom Nchini na msaani wa Muziki wa kizazi Kipya Mwana F A


 Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma David Misime akiwaonyesha wandishi wa Habari Mabomba ya plastik Inayotumika kama Mitambo ya kutengenezea Pombe Haramu Aina ya Gongo Mara Baada ya kuikamata wilayani Kongwa jana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime Akifungua Moja ya Madumu yaliyokamatwa na  Pombe Haramu ya Gongo yaliyokamatwa Wilayani Kongwa huku watu wanne wakishikiliwa na jeshi hilo.
PICHA NA JOHN BANDA

No comments:

Post a Comment