Pakistan yatunza wapatao elimu ya msingi

Rais Asif Ali Zardari wa Pakistan amesema serikali yake itaanzisha sera mpya ya kuhimiza watoto zaidi kwenda shule.

Malala Yousafzai

Familia maskini kabisa za Pakistan zitapewa fedha ikiwa watoto wao wanakwenda shule ya msingi.

Tangazo hilo limetolewa wakati Pakistan inatimiza mwezi mmoja tangu msichana wa shule wa miaka 15, Malala Yousafzai, kupigwa risasi kaskazini-magharibi mwa nchi.

Malala alishambuliwa na Taliban baada ya kuonekana anatetea elimu ya wasichana.

Kisa hicho kiliwashtua wananchi wengi pamoja na ulimwengu

No comments:

Post a Comment