Kamanda wa Oparesheni Maalum wa Jeshi la Polisi,
Peter Mvulla, akiwa na bomu la kutoa machozi alilolichukua kutoka kwa
mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kimnyaki iliyopo wilayani
Arumeru Mkoa wa Arusha jana. Bomu hilo lilirushwa kwa wanafunzi hao na
askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) bila ya kulipuka na
kuwaepusha na madhara ambayo yangeweza kutokea.
No comments:
Post a Comment