Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,
Walialwande Lema ( kushoto), akipata vielelezo ikiwa ni ushahidi katika
kesi ya uchomaji makanisa Mbagala kutoka kwa Mhasibu wa Kanisa la
Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mbagala, Bernard
Maimu ( kulia), wakati mahakama hiyo ilipohamia katika kanisa hilo
jana.
No comments:
Post a Comment